MKESHA MKUBWA WA MAOMBI UMEWADIA,NI IJUMAA YA KESHO 21/10/2016

Ule mkesha wa maombi na nguvu za kufunguliwa uliokuwa ukiusubiria kwa hamu kubwa,umewadia ni kesho tar 21/10/2016.

Mkesha huo utafanyika katika Hotel ya GoldCreast jiji Mwanza kuanzia saa mbili usiku na hakuna kiingilio ni bure kabisa.

Kufahamu zaidi kuhusu mkesha huo bonyeza>>HAPA

Share on Google Plus

About Promover

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment