Meya Wa Jiji La Mbeya
Mchungaji David Mwashilindi Amelifungia Kanisa Kufanya Huduma Za Kiroho Wilayani Humo Kufuatia
Tuhuma Kuwa Kiongozi Wake Mkuu Kuwa Amekuwa Akiombea Watu Na Kuwalazimisha Watoe Fedha Jambo Ambalo Ni Kinyume Na Taratibu Za Kidini
Na Sheria Za Usajili Wa Kanisa.
Tukio Hilo Limeibuka
Wakati Huu Ambapo Mkoa Wa Mbeya Umetajwa Kuwa Wa Pili Barani Afrika Kwa Kuwa Na
Madhehebu Mengi Ya Kikristo Baada Ya Jiji La Lagos Nigeria.
Kufuatia Matukio Hayo
Mkuu Wa Wilaya Amefika Katika Kituo Hicho Cha Maombezi Cha Nabii G Jani Na
Kumbana Ili Arudishe Vitu Vyote Alivyowachukulia Watu Hao Ambapo Alifanya Hivyo
Kisha Huduma Yake Kufungiwa.
Aidha Meya Wa Jiji La
Mbeya Mchungaji David Mwashilindi Ambaye Pia Ni Mchungaji Kiongozi Wa Kanisa La
Evangelism Assemblies Of God Eagt Amesema
Jiji La Mbeya Lina Makanisa Mia Nne Na Hamsini Na Kwamba Mtaa Wa Sae
Pekee Una Madhehebu Tisa Wakati Mtaa Wa
Simike Ukiwa Kinara Wa Vituo Vingi Vya Maombezi.
0 maoni:
Post a Comment