Semina Kubwa Ya Neno La Mungu Katika Kanisa La
Holy Ghost Revival Ministy Lililopo Igoma Karibu Na Shule Ya Nyerere Jijini Mwanza.
Askofu Mkuu Wa Kanisa La Holy Ghost Revival
Ministry Bishop Josephat Magumba Akishirikiana Na Kamati Ya Maandalizi Wanakuja
Na Semina Ya Neno La Mungu Katika Semina Hiyo Watumishi Wa Mungu Bishop Magumba
Pamoja Na Mtu Wa Mtu Wa Mungu Eric Audax Kutoka Kituo Cha Kwaneema Fm Radio
Watafundisha Jinsi Ya Kumweshimu Mungu Katika Utoaji, Kanuni Za Mafanikio Ya
Mtu Wa Mungu Pamoja Na Mambo Mengine Katika Uchumi.
Semina Hiyo Itafanyika Siku Ya Tarehe 20 Na 21
Katika Kanisa La Holy Ghost Lililopo Igoma Jijini Mwanza.Katika semina hiyo ya neno
la mungu wote watakaohudhulia watafundiswa kwa kina misingi ya imani na wokovu
huku wenye shida na matatizo mbalimbali wakiombewa na kupata uponyaji.
Hakuna kiingilio katika semina hiyo,wote
mnakaribishwa
Kwa Mawasiliano Zaidi Piga Simu Namba:
+255757961279.
+255763354754.
+255767818189.
0 maoni:
Post a Comment