MAHARUSI WAZIRAI KANISANI BAADA YA BABA KUZUIA HARUSI YAO MADHABAHUNI

 
Katika moja ya matukio ya nadra kuwahi kutokea katika familia, baba mzazi wa mmoja wa maharusi mwishoni mwa wiki aliibuka kanisani saa chache kabla ya muda uliopangwa kufunga harusi, na kuweka pingamizi.

Maharusi waliopatwa na mkasa huo ni Yohana Mohammed na Rose Sembeye.

Kitendo cha mzazi wa Yohana kuweka pingamizi kilisababisha maharusi wote wawili kupoteza fahamu, na licha ya harusi kutofungwa, wawili hao waliamua kwenda ukumbini kuungana na waalikwa saa 11:00 jioni wakitokea hospitalini ambako walikuwa wamepumzishwa.

soma habari hiyo kamili hapa chini kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchi:
Share on Google Plus

About Promover

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment