HUYU NDIYE MUIMBAJI BORA WA KIKE 2018


Huyu ni Mpe Mwalupogo muimbaji kutoka Mbeya ambaye aliibuka mshindi wa kipangele cha muimbaji bora wa kike 2018 katika tuzo zilizotolewa na radio uhai fm ya mkoani Tabora.

'Naitwa Mpe Mwalupogo  nimezaliwa  tukuyu eneo la itete nimeanza kuimba toka mdogo nikiwa darasa la  3 nikajiunga na uwaki nilikuwa mdogo lakini nilipendwa na mwalimu wangu kwa sababu ya sauti yangu ya pili ukawa mwanzo wa kuanza huduma ya kuimba.

Nilipofika secondary niliendelea na UKWATA  
Katika maisha yangu yote sijawahi ishi bila kujiunga na kwaya au kikundi cha kusifu na kuabudu popote ninapoenda haijalishi ni wapi.

Nilipo jiunga chuo kikuu  2016 nilijiunga na kikundi cha USCF tawi la TABORA  hapo ndipo nilipoanzia kuimba kama mwimbaji binafsi.

Nime record nyimbo zangu mbili  2018  ambazo ni 
1.unaweza 
2. Wewe ni mwema

Namshukuru Mungu hizi ndizo zimenipa ushindi kuwa mwimbaji bora wa kike Tabora 2018. 

Kwann wimbo unaweza: 
Huu niwimbo unao husu maisha yangu mwenyewe
Namshukuru Mungu kwa matendo makubwa alionitendea  simba dubu hawakunidhuru

Mfano 1: nilipokuwa darasa la 2 nilizama ziwani 

2. Nilipokuwa form 4 mwaka 2013 niling'atwa na nyoka nusu ya kifo mwezi mzima nipo kitandani nilipona kwa maombi.

3. Nilipokuwa form 6 niliumwa  mwezi mzima na huku nina mtihani wa mwisho,nilipona week 2 kabla ya mitihani.

Nipo tayari kwa mwaliko popote.

Kwa mawasiliano zaidi:Mpe mwalupogo kwa namba:0746117048 

Share on Google Plus

About Promover

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment