Waanzilishi Au Waasisi Na Wakurugenzi Wakuu Wa Huduma
Elshaddai Holy Word Evangelism Ministry International Yenye Makao Yake Makuu
Mwanza,Pst.Chege Shadrack Na Pst.Grace Mushi
wanawakaribisha Wakazi Wote Wa Mwanza Kwenye Sherehe Ya Kumbukumbu Ya Miaka
Mitatu Ya Kanisa Lao La Mwanza.
Sherehe Hiyo itafanyikia Kwenye Ukumbi Wa Hoteli Ya Zenze
Misheni Kirumba Karibu Na Uwanja Wa Furahisha Jumapili Ya Tarehe 11 Disemba
Kuanzia Saa Nane Na Mgeni Rasmi Ni Mama Donata Gabrieli Swai Mfanyabiashara
Maarufu Jijini Mwanza.
Waimbaji Binafsi Wa Mwanza Wenye Nafasi Nawaomba wafike bila kukosa ili kushiriki kwa pamoja katika Kumshukuru Mungu Kwa Kusifu Na Kuabudu Siku Hiyo.
Chakula Kitakuwepo kwa wote watakao fika na hakuna Kiingilio ni buuure kabisa!Wote mnakaribishwa!
Kwa mawasiliano zaidi mpigie Pst.Chege Shadrack Kwa simu
namba:0754 236 918
0 maoni:
Post a Comment